Anaitwa Abdul mkazi wa jijini dar es salaam Tanzania NI mvurana mwenye uri wa miaka 26
Kama picha yake inavyo onyesha hapo
Anasumbuliwa na matatizo ya ulemavu hapo qlipo atembe aongei akai Wala asimamašš„ŗ unaweza kujiuliza kwa jini kwa sababu gani amezaliwa hivi au laah!!!Basi ukweli NI kwamba ABDUL alizaliwa AKIWA mzima Kama Mimi na wewe alizaliwa na mama take mzazi Kama binadamu wengine matatizo ya ulemavu wake ILITOKEA ndani ya usiku MMOJA tu ndio Giza Nene likatanda kwenye maisha take na jinamizi la kutoaha kukuba maishani mwake ambae baro akisubua maisha yake na familia yake mpaka hivi Sasa
Chanzo Cha maradhi take NI homa ya MANJANO !!š„ŗ NANI ajuae Nani afikiliae homa ya MANJANO unaweza kualibu kabisa maisha ya mtu au mtoto!! Lakin umetokea
Abduli baada ya kupata tatizo hili AKIWA na mwaka mmoja alipoteza udugu moja kwa moja na baba take mzazi kwa madai baba take hana familia yenye mbegu ya walemavu
Abdul alitelekezwq moja kwa moja na mama yake ilipo fika2017 hapo ndio Giza lilitanda zaidi baada ya mama take mzazi kupoteza maisha qlijikuta akiishi maisha ya Giza huzuni hqta kudhuhudia ukatili wa wazi wazi
Alibaatika kupata mama mkubwa mlezi lakin mama mkubwa umli umeshaenda na yeye NI mtu wa KULALA tu haja kubwa ndogo hapo hapo qlipo sio kula Wala kuvaa lazima uhudumiwe Kama mtoto kichanga
NANTAMBALELE NIOKOE FOUNDATION ILIPATA nafasi ya kumtembelea abdul na kusikia kilio Cha mamamlez wa Abdul
Anaomba kupatiwa KITI MJONGEO , PAMPAS NA GLOVES ZA KUTOSHA KUWEZA KUMLEA HUYU KIJANA ABDUL KIUKWELI UHITAJI NI MKUBWA MNO UKILINGANISHA NA MAZINGIRA
NAOMBA DUGU WADAU MALAFIKI TUSHIRIKI KUMSAIDIA HUYU ABDUL
NAMBA YA KUSAIDIA NA MAWASILIANO NI
0745787549
MPESA
JABILI ISSA
WHATSAPP AND MOBILE CALL ALSO !!!
Comments